Kutokana na maoni na ushauri toka kwa wadau wengi, kuanzia leo tarehe 4 May 2009, Blog yetu wapenzi na mashabiki wa Simba itabadilishwa jina na kuwa:
www.simbasportsclubfans.blogspot.com
na email itakuwa simbafans@ymail.com
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaotokea, hasa kwa mdau Malima aliyejiandikisha kama Follower na wadau wengine ambao maoni yao yatapotea. Hii ni kwa ajili ya maboresho!
Blog hii ya awali itaendelea kukaa kwa mwezi mzima ili kuwafahamisha watu wote kuhusu mabadiliko lakini haitakuwa na habari mpya.
Sunday, May 3, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment