viongozi na mashabiki wa simba tuache ujinga bwana tatizo si refa wachezaji wetu wapumbavu kwani dakika zikiongezwa timu yetu iliambia isicheze hadi bao lirudi.
Katika hali ya kimpira mara nyingi timu inayoongoza mwishoni huwa inalinda goli, na si kushambulia. ni saikologia ya kawaida ya mpira, tumeiona hata kwa Stars kule CHAN, na EPL tunaona kila siku mambo hayo yanatokea. Goli kurudishwa mwisho sio ujinga.marefa wetu wanapokea sana hongo, hata Mziray juzi amesema hilo suala
Mimi ni shabiki mkubwa wa Simba SC. Dhumuni langu la kuanzisha blog hii ni kupeana habari, kubadilishana mawazo na kukosoana na mashabiki wenzangu. Pia hii iwe changamoto kwa viongozi wa Simba kutumia Teknohama kuleta maendeleo klabuni
Refa aliwaongezea dakika 7 Yanga peke yao?
ReplyDeleteRefa mbaya sana huyo! Sio fair kuwaongezea muda timu moja na kuwanyima timu nyingine!
ReplyDeleteSimba wachovu!
ReplyDeleteviongozi na mashabiki wa simba tuache ujinga bwana tatizo si refa wachezaji wetu wapumbavu kwani dakika zikiongezwa timu yetu iliambia isicheze hadi bao lirudi.
ReplyDeleteKatika hali ya kimpira mara nyingi timu inayoongoza mwishoni huwa inalinda goli, na si kushambulia. ni saikologia ya kawaida ya mpira, tumeiona hata kwa Stars kule CHAN, na EPL tunaona kila siku mambo hayo yanatokea. Goli kurudishwa mwisho sio ujinga.marefa wetu wanapokea sana hongo, hata Mziray juzi amesema hilo suala
ReplyDelete